Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wafalme 18:21

1 Wafalme 18:21 NEN

Eliya akasimama mbele ya watu na kusema, “Mtasitasita katika mawazo mawili hadi lini? Ikiwa BWANA ndiye Mungu, mfuateni yeye; lakini ikiwa Baali ni Mungu, basi mfuateni yeye.” Lakini watu hawakusema kitu.