Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Timotheo 2:1-2

1 Timotheo 2:1-2 NEN

Awali ya yote, nasihi kwamba dua, sala, maombezi na shukrani zifanyike kwa ajili ya watu wote: kwa ajili ya wafalme na wale wote wenye mamlaka, ili tupate kuishi kwa amani na utulivu, katika uchaji wote wa Mungu na utakatifu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Timotheo 2:1-2