2 Nyakati 26:16
2 Nyakati 26:16 NEN
Lakini baada ya Uzia kuwa na nguvu sana, majivuno yake yakamsababishia kuanguka. Alikosa uaminifu kwa BWANA Mungu wake, naye akaingia hekaluni mwa BWANA ili afukize uvumba kwenye madhabahu ya kufukizia uvumba.
Lakini baada ya Uzia kuwa na nguvu sana, majivuno yake yakamsababishia kuanguka. Alikosa uaminifu kwa BWANA Mungu wake, naye akaingia hekaluni mwa BWANA ili afukize uvumba kwenye madhabahu ya kufukizia uvumba.