Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Wafalme 18:5

2 Wafalme 18:5 NEN

Hezekia aliweka tumaini lake kwa BWANA, Mungu wa Israeli. Hapakuwepo na mfalme mwingine wa kufanana naye miongoni mwa wafalme wa Yuda, kabla yake au baada yake.