Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 7:57-58

Matendo 7:57-58 NEN

Lakini wao wakapiga kelele kwa sauti kubwa, wakaziba masikio yao, wakamrukia kwa nia moja. Wakamtupa nje ya mji, wakampiga kwa mawe. Nao mashahidi wakaweka mavazi yao miguuni mwa kijana mmoja ambaye jina lake aliitwa Sauli.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Matendo 7:57-58