Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Danieli 5:25-28

Danieli 5:25-28 NEN

“Haya ndiyo maneno yaliyoandikwa: mene, mene, tekeli na peresi “Hii ndiyo maana ya maneno haya: “ Mene : Mungu amezihesabu siku za utawala wako na kuukomesha. Tekeli : Wewe umepimwa katika mizani na umeonekana umepungua. Peresi : Ufalme wako umegawanywa na kupewa Wamedi na Waajemi.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Danieli 5:25-28