Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mhubiri 1:2-3

Mhubiri 1:2-3 NEN

“Ubatili mtupu! Ubatili mtupu!” Mhubiri anasema. “Ubatili mtupu! Kila kitu ni ubatili.” Mwanadamu anafaidi nini kutokana na kazi yake yote anayotaabikia chini ya jua?