Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mhubiri 8:8

Mhubiri 8:8 NEN

Hakuna mwanadamu awezaye kushikilia roho yake asife, wala hakuna mwenye uwezo juu ya siku ya kufa kwake. Kama vile hakuna yeyote arudishwaye nyuma wakati wa vita, kadhalika uovu hautawaweka huru wale wautendao.