Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwanzo 39:20-21

Mwanzo 39:20-21 NEN

Potifa akamchukua Yosefu na kumweka gerezani, mahali ambapo wahalifu wa mfalme walikuwa wamefungwa. Lakini wakati Yosefu alipokuwa huko gerezani, BWANA alikuwa pamoja naye, akamhurumia na kumpa kibali mbele ya msimamizi wa gereza.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mwanzo 39:20-21