Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waebrania 13:15-16

Waebrania 13:15-16 NEN

Basi kwa njia ya Yesu, tuzidi kumtolea Mungu dhabihu ya sifa, yaani matunda ya midomo inayolikiri Jina lake. Na msiache kutenda mema na kushirikiana vile vitu mlivyo navyo, kwa kuwa dhabihu kama hizo ndizo zinazompendeza Mungu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Waebrania 13:15-16