Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Isaya 49:13

Isaya 49:13 NEN

Pigeni kelele kwa furaha, enyi mbingu; furahi, ee dunia; pazeni sauti kwa kuimba, enyi milima! Kwa maana BWANA anawafariji watu wake, naye atakuwa na huruma kwa watu wake walioumizwa.