Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yakobo 1:23-24

Yakobo 1:23-24 NEN

Kwa maana kama mtu ni msikiaji tu wa Neno wala hatendi kile linachosema, yeye ni kama mtu ajitazamaye uso wake kwenye kioo na baada ya kujiona alivyo, huenda zake na mara husahau jinsi alivyo.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yakobo 1:23-24