Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 18:7-8

Yeremia 18:7-8 NEN

Ikiwa wakati wowote nikitangaza kuwa taifa au ufalme utangʼolewa, utaangushwa na kuangamizwa, ikiwa lile taifa nililolionya litatubia uovu wake, ndipo nitakapokuwa na huruma, wala sitawapiga kwa maafa niliyokuwa nimewakusudia.