Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 18:7-8

Yeremia 18:7-8 SRUV

Wakati wowote nitakapotoa habari za taifa, na habari za ufalme, kuung'oa, na kuuvunja, na kuuangamiza; ikiwa taifa lile nililolitaja litageuka, na kuacha maovu yake nitaghairi, nisitende mabaya yale niliyoazimia kuwatenda.

Soma Yeremia 18