Yeremia 2:19
Yeremia 2:19 NENO
Uovu wako utakuadhibu; kurudi nyuma kwako kutakukemea. Basi kumbuka, utambue jinsi lilivyo jambo ovu na chungu kwako unapomwacha Mwenyezi Mungu, Mungu wako, na kutokuwa na hofu yangu,” asema Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni.