Luka 17:5-6
Luka 17:5-6 NENO
Mitume wake wakamwambia Bwana, “Tuongezee imani.” Bwana akawajibu, “Kama mngekuwa na imani ndogo kama punje ya haradali, mngeweza kuuambia mti huu wa mkuyu, ‘Ng’oka ukaote baharini,’ nao ungewatii.
Mitume wake wakamwambia Bwana, “Tuongezee imani.” Bwana akawajibu, “Kama mngekuwa na imani ndogo kama punje ya haradali, mngeweza kuuambia mti huu wa mkuyu, ‘Ng’oka ukaote baharini,’ nao ungewatii.