Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Malaki 3:17-18

Malaki 3:17-18 NEN

“Nao watakuwa watu wangu,” asema BWANA Mwenye Nguvu Zote, “katika siku ile nitakapowafanya watu kuwa hazina yangu. Nitawahurumia, kama vile kwa huruma mtu amhurumiavyo mwanawe anayemtumikia. Kwa mara nyingine tena utaona tofauti kati ya wenye haki na waovu, kati ya wale wanaomtumikia Mungu na wale wasiomtumikia.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Malaki 3:17-18