Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 12:36-37

Mathayo 12:36-37 NEN

Lakini nawaambia, katika siku ya hukumu watu watatoa hesabu kuhusu kila neno lisilo maana walilonena. Kwa maana kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 12:36-37