Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 6:3-4

Mathayo 6:3-4 NEN

Lakini ninyi mtoapo sadaka, fanyeni kwa siri, hata mkono wako wa kushoto usijue mkono wako wa kuume unachofanya, ili sadaka yako iwe ni siri. Ndipo Baba yako wa mbinguni, yeye aonaye sirini atakupa thawabu kwa wazi.