Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Marko 7:21-23

Marko 7:21-23 NEN

Kwa maana kutoka ndani ya moyo wa mtu hutoka mawazo mabaya, uasherati, wizi, uuaji, uzinzi, tamaa mbaya, uovu, udanganyifu, ufisadi, wivu, matukano, kiburi na upumbavu. Maovu haya yote hutoka ndani ya mtu, nayo ndiyo yamtiayo mtu unajisi.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Marko 7:21-23