Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 103:10-11

Zaburi 103:10-11 NEN

yeye hatutendei kulingana na dhambi zetu wala hatupatilizi kwa kadiri ya maovu yetu. Kama vile mbingu zilivyo juu ya dunia sana, ndivyo wema wake ulivyo mwingi kwa wanaomcha