Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 134

134
Zaburi 134
Wito wa kumsifu Mwenyezi Mungu
Wimbo wa kwenda juu.
1Msifuni Mwenyezi Mungu, ninyi nyote watumishi wa Mwenyezi Mungu,
ninyi mnaotumika usiku ndani ya nyumba ya Mwenyezi Mungu.
2Inueni mikono yenu katika patakatifu
na kumsifu Mwenyezi Mungu.
3Naye Mwenyezi Mungu, Muumba wa mbingu na dunia,
awabariki kutoka Sayuni.

Iliyochaguliwa sasa

Zaburi 134: NENO

Kuonyesha

Shirikisha

Nakili

None

Je, ungependa vivutio vyako vihifadhiwe kwenye vifaa vyako vyote? Jisajili au ingia