Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 77:1-2

Zaburi 77:1-2 NEN

Nilimlilia Mungu ili anisaidie, nilimlilia Mungu ili anisikie. Nilipokuwa katika taabu, nilimtafuta Bwana, usiku nilinyoosha mikono bila kuchoka na nafsi yangu ilikataa kufarijika.