Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ufunuo 13:11-12

Ufunuo 13:11-12 NEN

Kisha nikamwona mnyama mwingine, akipanda juu kutoka dunia. Alikuwa na pembe mbili kama mwana-kondoo, lakini akanena kama joka. Akatumia mamlaka yote ya yule mnyama wa kwanza kwa niaba yake, naye akawafanya wote wakaao duniani kumwabudu yule mnyama wa kwanza, ambaye jeraha lake la mauti lilipona.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ufunuo 13:11-12