Warumi 11:33
Warumi 11:33 NEN
Tazama jinsi kilivyo kina cha utajiri wa hekima na maarifa ya Mungu! Tazama jinsi hukumu zake hazichunguziki, na ambavyo njia zake hazitafutiki!
Tazama jinsi kilivyo kina cha utajiri wa hekima na maarifa ya Mungu! Tazama jinsi hukumu zake hazichunguziki, na ambavyo njia zake hazitafutiki!