Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mhu 2:24-25

Mhu 2:24-25 SUV

Mwanadamu hapati jema kupita kula na kunywa, na kuiburudisha roho yake kwa mema katika kazi yake. Hayo nayo naliona ya kwamba hutoka mkononi mwa Mungu. Kwa maana ni nani awezaye kula au kujiburudisha kuliko mimi?