Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zab 69:13-15

Zab 69:13-15 SUV

Nami maombi yangu nakuomba Wewe, BWANA, Wakati ukupendezao; Ee Mungu, Kwa wingi wa fadhili zako unijibu, Katika kweli ya wokovu wako. Uniponye kwa kunitoa matopeni, Wala usiniache nikazama. Na niponywe nao wanaonichukia, Na katika vilindi vya maji. Mkondo usinigharikishe, wala vilindi visinimeze, Wala shimo lisifumbe kinywa chake juu yangu.

Soma Zab 69

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zab 69:13-15