Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zab 88:1-5

Zab 88:1-5 SUV

Ee BWANA, Mungu wa wokovu wangu Mchana na usiku nimelia mbele zako. Maombi yangu yafike mbele zako, Uutegee ukelele wangu sikio lako. Maana nafsi yangu imeshiba taabu, Na uhai wangu umekaribia kuzimu. Nimehesabiwa pamoja nao washukao shimoni; Nimekuwa kama mtu asiye na msaada. Miongoni mwao waliokufa nimetupwa, Kama waliouawa walalao makaburini. Hao ambao Wewe huwakumbuki tena, Wametengwa mbali na mkono wako.

Soma Zab 88

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zab 88:1-5