Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 88:1-5

Zaburi 88:1-5 SRUV

Ee BWANA, Mungu wa wokovu wangu Mchana na usiku nimelia mbele zako. Maombi yangu yafike mbele zako, Ukitegee kilio changu sikio lako. Maana nafsi yangu imeshiba taabu, Na uhai wangu umekaribia kuzimu. Nimehesabiwa pamoja nao washukao shimoni; Nimekuwa kama mtu asiye na msaada. Miongoni mwao waliokufa nimetupwa, Kama waliouawa walalao makaburini. Hao ambao Wewe huwakumbuki tena, Wametengwa mbali na mkono wako.

Soma Zaburi 88

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 88:1-5