Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Timotheo 2:1-2

1 Timotheo 2:1-2 SRUV

Basi, kabla ya mambo yote, nataka dua, na sala, na maombezi, na shukrani, zifanyike kwa ajili ya watu wote; kwa ajili ya wafalme na wote wenye mamlaka, tuishi maisha ya utulivu na amani, katika utauwa wote na ustahivu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Timotheo 2:1-2