Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Wakolosai 3:16-17

Wakolosai 3:16-17 SRUV

Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; huku mkimwimbia Mungu kwa neema mioyoni mwenu. Na kila mfanyalo, kwa neno au kwa tendo, fanyeni yote katika jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mungu Baba kupitia kwake.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Wakolosai 3:16-17