Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mhubiri 12:13-14

Mhubiri 12:13-14 SRUV

Hii ndiyo jumla ya maneno; yote yamekwisha sikiwa; Mche Mungu, nawe uzishike amri zake, Maana kwa jumla ndiyo impasayo mtu. Kwa maana Mungu ataleta hukumuni kila kazi, pamoja na kila neno la siri, likiwa jema au likiwa baya.

Soma Mhubiri 12

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mhubiri 12:13-14