Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mhubiri 2:11

Mhubiri 2:11 SRUV

Kisha nikaziangalia kazi zote zilizofanywa kwa mikono yangu, na taabu yote niliyotaabika katika kuzitenda; na tazama, yote ni ubatili na kufukuza upepo, wala faida hakuna chini ya jua.

Soma Mhubiri 2