Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mhubiri 2:24-25

Mhubiri 2:24-25 SRUV

Mwanadamu hapati jema kupita kula na kunywa, na kuiburudisha roho yake kwa mema katika kazi yake. Hayo nayo niliona ya kwamba hutoka mkononi mwa Mungu. Kwa maana ni nani awezaye kula au kujiburudisha kuliko mimi?

Soma Mhubiri 2