Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mhubiri 5:19

Mhubiri 5:19 SRUV

Tena, kwa habari za kila mwanadamu, ambaye Mungu amempa mali na ukwasi, akamwezesha kula katika hizo, na kuipokea sehemu yake, na kuifurahia amali yake; hiyo ndiyo karama ya Mungu.

Soma Mhubiri 5