Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ezekieli 40:48-49

Ezekieli 40:48-49 SRUV

Ndipo akanileta mpaka ukumbi wa nyumba, akapima kila mwimo wa ukumbi, dhiraa tano upande huu, na dhiraa tano upande huu; na upana wa lango ulikuwa dhiraa tatu upande huu, na dhiraa tatu upande huu. Urefu wa ukumbi ulikuwa dhiraa ishirini, na upana wake dhiraa kumi na moja; karibu na madaraja ambayo waliupandia; tena palikuwa na nguzo karibu na miimo, moja upande huu, na moja upande huu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ezekieli 40:48-49