Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 18:9-10

Yeremia 18:9-10 SRUV

Na wakati wowote nitakapotoa habari za taifa, na habari za ufalme, kuujenga na kuupanda, ikiwa watatenda maovu mbele za macho yangu, wasiitii sauti yangu, basi nitaghairi, nisitende mema yale niliyoazimia kuwatendea.

Soma Yeremia 18