Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 18:9-10

Yeremia 18:9-10 BHN

Hali kadhalika, wakati wowote nikitoa tamko kuhusu taifa au ufalme kwamba nitalijenga na kulistawisha, kisha taifa hilo likafanya uovu mbele yangu na kukataa kunitii, basi, mimi nitaacha kulitendea mema hayo niliyokusudia kulitendea.

Soma Yeremia 18