Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 33:6-7

Yeremia 33:6-7 SRUV

Tazama, nitauletea afya na kupona, nami nitawaponya; nami nitawafunulia wingi wa amani na kweli. Nami nitawarudisha wafungwa wa Yuda, na wafungwa wa Israeli, na kuwajenga kama kwanza.

Soma Yeremia 33