Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 33:6-7

Yeremia 33:6-7 BHN

“Hata hivyo, mimi nitauponya mji huu na kuwapa watu wake afya; nitawajalia ustawi mwingi na usalama. Nitawastawisha tena watu wa Yuda na watu wa Israeli; nitawaimarisha kama walivyokuwa hapo awali.

Soma Yeremia 33