Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 37:17

Yeremia 37:17 SRUV

ndipo Sedekia, mfalme, akatuma watu wamlete; naye mfalme akamwuliza kwa siri ndani ya nyumba yake, akasema, Je! Liko neno lililotoka kwa BWANA? Yeremia akasema, Liko. Akasema pia, Utatiwa katika mikono ya mfalme wa Babeli.

Soma Yeremia 37