Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ayubu 9:22-24

Ayubu 9:22-24 SRUV

Hayo yote ni mamoja; kwa hiyo nasema, Yeye huangamiza wakamilifu na waovu pia. Kama hilo pigo likiua ghafla, Atayadhihaki majaribu yake asiye na kosa. Dunia imetiwa mkononi mwa waovu; Yeye hufunika nyuso za waamuzi wake; Kama si yeye, ni nani basi?

Soma Ayubu 9