Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yobu 9:22-24

Yobu 9:22-24 BHN

Yote ni mamoja, kwa hiyo nasema; Mungu huwaangamiza wema na waovu. Maafa yaletapo kifo cha ghafla, huchekelea balaa la wasio na hatia. Nchi ikitiwa watu waovu katika utawala wa mwovu, Mungu huyafumba macho ya mahakimu wake! Kama si yeye afanyaye hivyo, ni nani basi?

Soma Yobu 9