Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 1:2-5

Mithali 1:2-5 SRUV

Kujua hekima na adabu; kutambua maneno ya ufahamu; kufundishwa matendo ya busara, katika haki na hukumu na adili. Kuwapa wajinga werevu, na kijana maarifa na tahadhari; mwenye hekima asikie na kuongezewa elimu, na mwenye ufahamu ayafikie mashauri yenye njia.

Soma Mithali 1