Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 116:1-2

Zaburi 116:1-2 SRUV

Haleluya. Nampenda BWANA kwa kuwa anaisikiliza Sauti yangu na dua zangu. Kwa maana amenitegea sikio lake, Kwa hiyo nitamwita siku zangu zote.

Soma Zaburi 116