Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 116:1-2

Zaburi 116:1-2 BHN

Nampenda Mwenyezi-Mungu, kwa maana anisikia, maana amesikia kilio cha ombi langu. Yeye amenitegea sikio, hivyo nitamwomba muda wote niishio.

Soma Zaburi 116