Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 23:2-3

Zaburi 23:2-3 SRUV

Katika malisho ya majani mabichi hunilaza, Kando ya maji ya utulivu huniongoza. Hunihuisha nafsi yangu; na kuniongoza Katika njia za haki kwa ajili ya jina lake.

Soma Zaburi 23

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 23:2-3