Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 81:13-14

Zaburi 81:13-14 SRUV

Laiti watu wangu wangenisikiliza, Na Israeli angeenenda katika njia zangu; Ningewadhili adui zao kwa upesi, Na juu ya watesi wao ningegeuza mkono wangu

Soma Zaburi 81