Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ufunuo 19:12-13

Ufunuo 19:12-13 SRUV

Na macho yake yalikuwa kama muali wa moto, na juu ya kichwa chake vilemba vingi; naye ana jina lililoandikwa, asilolijua mtu ila yeye mwenyewe. Naye amevikwa vazi lililoloweshwa katika damu, na jina lake anaitwa, Neno la Mungu.

Soma Ufunuo 19

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ufunuo 19:12-13