Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Warumi 8:6-8

Warumi 8:6-8 SRUV

Kwa kuwa nia ya mwili ni mauti; bali nia ya roho ni uzima na amani. Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui juu ya Mungu, kwa maana haitii sheria ya Mungu, wala haiwezi kuitii. Wale waufuatao mwili hawawezi kumpendeza Mungu.

Soma Warumi 8

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Warumi 8:6-8